KARIBUNI MCHICHANI

Kwa Habari moto moto Kuhusu Siasa , Uchumi, Maisha, Elimu Na Mengine Mengi.



Friday, September 10, 2010

RAY C KATIKA JITIHADA ZA KUUSAKA UREMBO NA USTAA


Akiwa msaani  machacha wa muziki binti wa kitanzania , aliwahi tajwa kuwa ni msaani mrembo zaidi afrika mashariki
Mambo ya sifa nyingi hayo, eti wahenga walisema sifa nyingi huharibu utamuu eeeeh !!??
Nataka niwe na wewe milele , kibao kilichogeuka kuwa kitanzi kwa Ray c, na kuwa sitaki kuwa na wewe milele , kwani watanionaje ?
Mcheza kwao hatuzwi, kujaribu na ugenini kukampelekea msaani huyo akipanda pipa  hadi  white house, huko akatamani lau angezaliwa Ulaya.


Lakini mwana wa kuku kamwe hatokuwa mwewe

No comments:

Post a Comment