KARIBUNI MCHICHANI

Kwa Habari moto moto Kuhusu Siasa , Uchumi, Maisha, Elimu Na Mengine Mengi.



Sunday, September 12, 2010

HAKI HUINUA TAIFA: WOSIA MWL.JK.NYERERE

BABA WA TAIFA ATAKUMBUKWA DAIMA

“Elimu yetu inatakiwa kutupa chanjo ya kujituma kwa ajili ya jamii nzima na kuwasaidia wanafunzi kukubali yale yanayokubalika kwa ajili ya maisha yetu ya mbeleni”. Baba wa Taifa, Mwl. J. K. Nyerere  “Elimu ni siraha ya nguvu kubwa unayoweza kutumia kuibadili dunia”. Nelson Mandela.  “Mizizi ya elimu ni michungu, lakini matunda yake ni matamu”. Aristotle.

No comments:

Post a Comment