KARIBUNI MCHICHANI

Kwa Habari moto moto Kuhusu Siasa , Uchumi, Maisha, Elimu Na Mengine Mengi.



Monday, September 13, 2010

JK aendelea kufunika Tanga, amnadi Maji Marefu.

Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Stephen Ngonyani maarufu kama Profesa Majimarefu Mgombea ubunge Korogwe vijijini kwa tiketi ya CCM wakati
aliposimama katika kijiji cha Mashewa Korogwe vijijini leo asubuhi

Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akimsabahi Bi Halima Abdallah mwenye umri wa miaka mia moja na mbili (102) wakati aliposimama kuwasalimia wananchi katika kata ya Kerege wilaya ya Korogwe vijijini leo asubuhi.

liyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Kerege Bwana Mjata Mohamed akirudisha kadi za wananchama waliokihama chama hicho na kuhamia CCM wakati Mgombea Urais wa CCM Dr.Jakaya Mrisho Kikwete aliposimama kuwasalimia wananchi kijijini hapo leo asuhuhi(picha na Freddy Maro)


Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete akiwahutubioa wakazi wa kata ya Mashewa wilayani Korogwe vijijini leo.


Source: Dullonet

No comments:

Post a Comment