KARIBUNI MCHICHANI

Kwa Habari moto moto Kuhusu Siasa , Uchumi, Maisha, Elimu Na Mengine Mengi.



Wednesday, September 22, 2010

Kijana avunja rekodi kwa uzazi holela UK

Macdonald
LONDON, Uingereza
KIJANA mwenye umri wa miaka 25, ameweka historia Uingereza kwa kuzaa watoto 15 na wanawake 14, na baadaye kuwatelekeza. Taarifa zilisema kijana huyo Keith Macdonald,

Monday, September 20, 2010

VUVUZELA LA KIBONGO NI KIBOKO YAO

Mkimbiza mwenge kitaifa ambaye anajulikana zaidi kwa jina la Masai kutoka mkoa wa Manyara akipuliza pembe la ng'ombe ambalo sauti yake vuvuzela la Afrika Kusini halioni ndani

Sunday, September 19, 2010

SHINDA MKOKO HUO HAPOOOOO!!!! , DUUU DUNIANI KUNA MAMBO

                           Kumbe duniani kuna magari yametengenezwa kwa kutumia majamvi. Hebu licheki hili Hammer.

                                                                                         Linavyoonekana kwa mbele

Shinda mkoko huo hapo kazi kwako

TUNAJIFUNZA NINI KUTOKA KWA BOB MARLEY AU KULA DUDE LA KIMATAIFA !!!!!! ????

                   

Bob Marley



Mcheza mpira wa miguu, Mhubiri wa amani na upendo, Mwanamapinduzi, Mwanaharakati, Mpiganaji, Mwanasiasa, Mwanamuziki wa Reggae na Nyota ya kwanza katika ulimwengu wa tatu Bob Marley.

Friday, September 17, 2010

NAKAAYA AIKACHA CHADEMA,AJIUNGA NA CCM!

Rafiki yangu mmoja aliwahi kuniambia jambo ambalo nilimbishia karibu mishipa ya fahamu initoke.Aliniambia kwamba vuguvugu lililopo nchini la vijana na hususani wasanii wa muziki wa kizazi kipya kujiunga na vyama vya siasa, linaongozwa na utashi wa kishabiki shabiki tu na pia tamaa ya fedha na kujiongezea tu umaarufu fulani katika jamii

HUYU HAPA HARD MAD

                                                                                      HARD MAD
Msanii wa muziki wa kizazi kipya HARD MAD jumapili hii anafanya video yake ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la AMKA UJITETEE chini ya production ya VISUAL LAB na mtayarishaji wake ni ADAM JUMA.